Somo; Dunia inaendeshwa Na
Kanuni za kibiashara.
Mchungaji; Goodlucky Kyara
HUDUMA YA NEW VINE CHURCH
luka 19:14-27, mathayo 25:14-27
Kila mtu ni mfanya biashara
Mfano: wasomi wanauza ujuzi wao, makuli wanauza nguvu zao Na wamiliki wa makampuni wanauza bidhaa Na huduma mbali mbali.
KANUNI ZA BIASHARA
1. Mungu ndio mmiliki wa mali zote . zaburi 24: 1
2. Mungu amempa kila mtu kitu chake. Kila mtu ana mtaji na mtaji sio pesa pekee. Mtaji wako ndio mbegu au kianzio chako wajibu wako ni wewe kuzalisha tunda au matokeo.
AINA ZA MITAJI ULIYONAYO
1. Pumzi au uhai wako.
Bila kuwa na uhai na afya huwezi kufanya biashara yoyote. 'Usitumie maisha yako wekeza maisha yako'. 'Don't spend your life , invest your life'
2. Muda.
Matumizi ya muda ndio yanayoamua mafanikio yako. Watu wengi wanaweza kuajiriwa kwa sababu kujiajiri kuna hitaji nidhamu ya hali ya juu kuhusu matumizi ya muda. Matajiri huwa muda wao hauwatoshi ndio maana huwa wananunua muda wa watu wengine kwa kuwaajiriwa ili kuzidisha uzalishaji wa kampuni zao.
3. Akili au ufahamu
Kila mtu anayezaliwa mwenye akili timamu anaweza kufanya biashara yoyote. Ukosefu wa mawazo Na fikra au akili za kubuni biashara yoyote ni kitu kibaya sana.
4. Elimu
Kila maarifa au ujuzi ulionao ni mtaji tosha.
5. Nguvu
Nguvu ulizonazo pia ni mtaji.
6. Sauti.
Kama una sauti nzuri unaweza kufanya biashara yoyote inayohusiana na sauti. Mfano kuwa mshehereshaji na mtengenezaji wa matangazo ya ki biashara. Steve wonder ambaye ni mwanamuziki maarufu duniani ambaye ana ulemavu wa macho amewahi kusema hakuna kitu kibaya duniani kama kuwa na macho ambayo hayaoni . Hapa inamaanisha kutokuona fursa na mitaji mbali mbali uliyonayo
7. Kipaji
Mfano kucheza mpira , kuchora n.k.
AINA ZA MALI
1.Mali zinazokula mali.
Mfano gari ya kutembelea ambayo haikuongezei uzalishaji wako zaidi ya kukuongezea matumizi yako. Hapa tuna weza kuongelea gari za mikopo alafu haikuingizii kipato.
2. Mali isiyokula mali ila pia haizalishi Mali yoyote
Samani za majumbani kwetu mfano sofa za makochi na meza.
3. Mali inayozalisha mali.
Mfano daladala au hata pia gari binafsi isiyo kuingiza kwenye madeni na pia inaongeza uzalishaji wako kibiashara.
Mafanikio yanakuja kwa kuwa Na mali zinazozalisha KULIKO mali ambazo hazizalishi Na pia hazili mali zingine KULIKO mali zinazokula mali zingine.
Kumbuka kiwango cha kuheshimiwa kwako kinategemea
Kiwango cha uzalishaji wako katika kufanya biashara.
Jumatatu, 2 Machi 2015
SEMINAR FOR PURPOSES OF LIFE
SEMINAR FOR
PURPOSES OF LIFE
STUDY:
OBJECTIVES OF FAMILY
ECCLESIASTES: MR. BUSARA
CHURCH OF T.A.G - NYAMALANGO, Mwanza. TANZANIA.
ECCLESIASTES: MR. BUSARA
CHURCH OF T.A.G - NYAMALANGO, Mwanza. TANZANIA.
Matthew 19:10
says that if a wife and your husband has not recommended marry. Before you
enter into a marriage that is spiritual must start all processes follow the
Christian faith as the man who saved. Before being signed in to seek knowledge
about sexual matters or you will hate the marriage.
This lesson is divided into four components namely: -
A) Introduction
B) The role of husband
C) The role of wife
D) The role of the child
This lesson is divided into four components namely: -
A) Introduction
B) The role of husband
C) The role of wife
D) The role of the child
BACKGROUND
1.God created man and a woman for Atonement had intended to start a family. Genesis 1: 26-27 is shown after the creation God instituted human accrual principle. Here God allow accrual principle (principle of multiplication) in every sphere of life image reproduction, business, work, etc. If you decide to become a producer will get benefits. Jesus said branch bears no useful cut and burnt into fire. Making profits is valid for every Christian and not a sin or wrong. When you fail to produce God sees as you are not serious and are slack.
2. All we like because we are created in God's image, even though we differ only physical.
3. Authority control is a man and a woman. Genesis chapter one states and a rule all creatures in the sea, soil and land.
NOTE: When man sinned God punishes man but just when we are saved, we returned to the Garden of Eden and we changed the names
Called blessed and not cursed again.
4. Force was put into our production each. God said go and see to and cultivate the garden then you may harvest crops and fruits. All men, we have to let our wives work and do business, because all we have been given power production.
3. Both stayed open. Both were naked. Must be married to be more transparency in income and expenditure. Confidentiality destroy marriage but transparent.
1.God created man and a woman for Atonement had intended to start a family. Genesis 1: 26-27 is shown after the creation God instituted human accrual principle. Here God allow accrual principle (principle of multiplication) in every sphere of life image reproduction, business, work, etc. If you decide to become a producer will get benefits. Jesus said branch bears no useful cut and burnt into fire. Making profits is valid for every Christian and not a sin or wrong. When you fail to produce God sees as you are not serious and are slack.
2. All we like because we are created in God's image, even though we differ only physical.
3. Authority control is a man and a woman. Genesis chapter one states and a rule all creatures in the sea, soil and land.
NOTE: When man sinned God punishes man but just when we are saved, we returned to the Garden of Eden and we changed the names
Called blessed and not cursed again.
4. Force was put into our production each. God said go and see to and cultivate the garden then you may harvest crops and fruits. All men, we have to let our wives work and do business, because all we have been given power production.
3. Both stayed open. Both were naked. Must be married to be more transparency in income and expenditure. Confidentiality destroy marriage but transparent.
ROLE OF
HUSBANDS OR MAN IN HIS FAMILY AND MARRIAGE.
1 Peter 3: 7 Husbands, n the same way be considerate as you live with your wife…… Ephesians 5: 25-29 says whom he loves his wife loves himself.
1. The first duty of a man or a husband is to be the leader of the family. From the above Bible verse, Bible emphasizes the males use their minds properly answer the questions of why, where, how and whom can be answered after reasoning. It’s like men asked these questions so they should think carefully.
2. To honor his wife. Bible says that give honor your wife. In Africa we have challenges of the patriarchy. Wife is a rare person God hath given the husband so you should respect and treasured wife even if she has certain limitations. Tanzania has challenges the traditions whose undermined woman or wife. Build a man you respect any woman character.
3. Talk about the qualities and beauty of your wife. Call beautiful and even your community know.
4. The right of inheritance. Proverbs 13:22 A good father to let her have a heritage and even sons of sons (his grandchildren). Man or men have a responsibility to seek to raise funds and assets available for the wife, children and his grandchildren.
5. You shall love your wife. Love is caring wife. E.g. to give a gift. There is a saying that says that a good leader is someone who is a good listener. Another proverb also says you can give is not to love someone, but you cannot love someone without giving her anything.
6. Humility. Ephesians 5:21 says that we have should submit in stature of Christ. Is there a difference between meekness and humility? Gently not humility. God does not love the beat and be proud. Humility is the state of spirituality someone other than you. Humility is learned is not born with them. Simplicity is especially important in this marriage involves a husband and wife as well. To lead the people must be humble.
7. Give an example family needs food, shelter and clothing. 1 Timothy 5: 8 explains that if you fail to bring the needs of the family as a man or husband you are worse than an unbeliever (e.g. witch or sustainability). Prior to marry must see if you are able to take care of the family.
ROLE OF WIFE OR WOMAN IN HER MARRIAGE OR FAMILY.
Ephesians 5: 22-33 Obey your husband if you obeyed the lord for the husband is the head of the family as the lord is the head of the church. This submission is in everything and is the obedience of a very high standard.
1. The first duty of a wife is to obey her husband. Model Sara obeyed Abraham her husband as she obeyed the Lord. Example Abraham called his wife s sister in a foreign country, but Sara obeyed.
2. Respect your husband's leadership because he is the head and you as a wife is an assistant. Honor your husband is to recognize its existence.
3. Arrange the interior of the house symbolizes purity, catering and planning duties of his maids and also wake up early in the morning. Proverbs 31:15
4. Reliable and dependable. Proverbs 31:11 trustworthy in everything and trust must be approved does not come like this.
5. Do well. . Proverbs 31:12. Do not do evil for evil, but evil with good. Do not plan to retaliate. Proverbs 17:13 Evil shall not depart from your house. Remember marital strife affects to children.
6. Say good words. Proverbs 31: 26 rules of good exists in the tongue. Speak positive things in your home properly answered your husband. Learn to tell your husband his reputation at least not less than 15 seconds while you greet him by the hand when you looked pleased with radiant smile.
7. Protect your husband Jeremiah 31:22 woman has a sixth gate nervous because usually they are able to feel the danger even before it happened, husbands, and they should listen to her on various warnings are given in life.
ROLE OF A CHILD
a child is any person born of parents does not mean only those younger just so everyone is a child because he is born to parents. Ephesian 6: 1-3 Children honor their parents.
1. The first duty is to respect your spiritual parents. Here we look at our pastors even if you surpass education or money. Take care of your statements about God's servants. Learn how to adopt and shortcomings or mistakes of your spiritual leaders.
2. Obey your parents physically i.e. father and your mother. Do not talk your parents wrong. Show your love not only in words but in deeds as well.
3. Do not curse father and your mother. Proverbs 20:20 your burning lamp shall be put out of nowhere. This means that your stuff will rot example at work, studying from home. Proverbs 23:22 Listen ala yakow father not despise your mother when she is old.
4. Don’t steal your parents. Proverbs 28:24 one who steals property of his parents he is a partner of someone to him who destroys.
5. Do not waste your parents' property. Proverbs 19:26 He who robs his father and drives out his mother is a son who brings shame and disgrace. Let’s not drive our parents when we are married or girls for marriage.
1 Peter 3: 7 Husbands, n the same way be considerate as you live with your wife…… Ephesians 5: 25-29 says whom he loves his wife loves himself.
1. The first duty of a man or a husband is to be the leader of the family. From the above Bible verse, Bible emphasizes the males use their minds properly answer the questions of why, where, how and whom can be answered after reasoning. It’s like men asked these questions so they should think carefully.
2. To honor his wife. Bible says that give honor your wife. In Africa we have challenges of the patriarchy. Wife is a rare person God hath given the husband so you should respect and treasured wife even if she has certain limitations. Tanzania has challenges the traditions whose undermined woman or wife. Build a man you respect any woman character.
3. Talk about the qualities and beauty of your wife. Call beautiful and even your community know.
4. The right of inheritance. Proverbs 13:22 A good father to let her have a heritage and even sons of sons (his grandchildren). Man or men have a responsibility to seek to raise funds and assets available for the wife, children and his grandchildren.
5. You shall love your wife. Love is caring wife. E.g. to give a gift. There is a saying that says that a good leader is someone who is a good listener. Another proverb also says you can give is not to love someone, but you cannot love someone without giving her anything.
6. Humility. Ephesians 5:21 says that we have should submit in stature of Christ. Is there a difference between meekness and humility? Gently not humility. God does not love the beat and be proud. Humility is the state of spirituality someone other than you. Humility is learned is not born with them. Simplicity is especially important in this marriage involves a husband and wife as well. To lead the people must be humble.
7. Give an example family needs food, shelter and clothing. 1 Timothy 5: 8 explains that if you fail to bring the needs of the family as a man or husband you are worse than an unbeliever (e.g. witch or sustainability). Prior to marry must see if you are able to take care of the family.
ROLE OF WIFE OR WOMAN IN HER MARRIAGE OR FAMILY.
Ephesians 5: 22-33 Obey your husband if you obeyed the lord for the husband is the head of the family as the lord is the head of the church. This submission is in everything and is the obedience of a very high standard.
1. The first duty of a wife is to obey her husband. Model Sara obeyed Abraham her husband as she obeyed the Lord. Example Abraham called his wife s sister in a foreign country, but Sara obeyed.
2. Respect your husband's leadership because he is the head and you as a wife is an assistant. Honor your husband is to recognize its existence.
3. Arrange the interior of the house symbolizes purity, catering and planning duties of his maids and also wake up early in the morning. Proverbs 31:15
4. Reliable and dependable. Proverbs 31:11 trustworthy in everything and trust must be approved does not come like this.
5. Do well. . Proverbs 31:12. Do not do evil for evil, but evil with good. Do not plan to retaliate. Proverbs 17:13 Evil shall not depart from your house. Remember marital strife affects to children.
6. Say good words. Proverbs 31: 26 rules of good exists in the tongue. Speak positive things in your home properly answered your husband. Learn to tell your husband his reputation at least not less than 15 seconds while you greet him by the hand when you looked pleased with radiant smile.
7. Protect your husband Jeremiah 31:22 woman has a sixth gate nervous because usually they are able to feel the danger even before it happened, husbands, and they should listen to her on various warnings are given in life.
ROLE OF A CHILD
a child is any person born of parents does not mean only those younger just so everyone is a child because he is born to parents. Ephesian 6: 1-3 Children honor their parents.
1. The first duty is to respect your spiritual parents. Here we look at our pastors even if you surpass education or money. Take care of your statements about God's servants. Learn how to adopt and shortcomings or mistakes of your spiritual leaders.
2. Obey your parents physically i.e. father and your mother. Do not talk your parents wrong. Show your love not only in words but in deeds as well.
3. Do not curse father and your mother. Proverbs 20:20 your burning lamp shall be put out of nowhere. This means that your stuff will rot example at work, studying from home. Proverbs 23:22 Listen ala yakow father not despise your mother when she is old.
4. Don’t steal your parents. Proverbs 28:24 one who steals property of his parents he is a partner of someone to him who destroys.
5. Do not waste your parents' property. Proverbs 19:26 He who robs his father and drives out his mother is a son who brings shame and disgrace. Let’s not drive our parents when we are married or girls for marriage.
Dunia inaendeshwa NaKanuni za kibiashara.
Somo; Dunia inaendeshwa Na
Kanuni za kibiashara.
Mchungaji; Goodlucky Kyara
HUDUMA YA NEW VINE CHURCH
luka 19:14-27, mathayo 25:14-27
Kila mtu ni mfanya biashara
Mfano: wasomi wanauza ujuzi wao, makuli wanauza nguvu zao Na wamiliki wa makampuni wanauza bidhaa Na huduma mbali mbali.
KANUNI ZA BIASHARA
1. Mungu ndio mmiliki wa mali zote . zaburi 24: 2
2. Mungu amempa kila mtu kitu chake. Kila mtu ana mtaji na mtaji sio pesa pekee. Mtaji wako ndio mbegu au kianzio chako wajibu wako ni wewe kuzalisha tunda au matokeo.
AINA ZA MITAJI ULIYONAYO
1. Pumzi au uhai wako.
Bila kuwa na uhai na afya huwezi kufanya biashara yoyote. 'Usitumie maisha yako wekeza maisha yako'. 'Don't spend your life , invest your life'
2. Muda.
Matumizi ya muda ndio yanayoamua mafanikio yako. Watu wengi wanaweza kuajiriwa kwa sababu kujiajiri kuna hitaji nidhamu ya hali ya juu kuhusu matumizi ya muda. Matajiri huwa muda wao hauwatoshi ndio maana huwa wananunua muda wa watu wengine kwa kuwaajiriwa ili kuzidisha uzalishaji wa kampuni zao.
3. Akili au ufahamu
Kila mtu anayezaliwa mwenye akili timamu anaweza kufanya biashara yoyote. Ukosefu wa mawazo Na fikra au akili za kubuni biashara yoyote ni kitu kibaya sana.
4. Elimu
Kila maarifa au ujuzi ulionao ni mtaji tosha.
5. Nguvu
Nguvu ulizonazo pia ni mtaji.
6. Sauti.
Kama una sauti nzuri unaweza kufanya biashara yoyote inayohusiana na sauti. Mfano kuwa mshehereshaji na mtengenezaji wa matangazo ya ki biashara. Steve wonder ambaye ni mwanamuziki maarufu duniani ambaye ana ulemavu wa macho amewahi kusema hakuna kitu kibaya duniani kama kuwa na macho ambayo hayaoni . Hapa inamaanisha kutokuona fursa na mitaji mbali mbali uliyonayo
7. Kipaji
Mfano kucheza mpira , kuchora n.k.
AINA ZA MALI
1.Mali zinazokula mali.
Mfano gari ya kutembelea ambayo haikuongezei uzalishaji wako zaidi ya kukuongezea matumizi yako. Hapa tuna weza kuongelea gari za mikopo alafu haikuingizii kipato.
2. Mali isiyokula mali ila pia haizalishi Mali yoyote
Samani za majumbani kwetu mfano sofa za makochi na meza.
3. Mali inayozalisha mali.
Mfano daladala au hata pia gari binafsi isiyo kuingiza kwenye madeni na pia inaongeza uzalishaji wako kibiashara.
Mafanikio yanakuja kwa kuwa Na mali zinazozalisha KULIKO mali ambazo hazizalishi Na pia hazili mali zingine KULIKO mali zinazokula mali zingine.
Kumbuka kiwango cha kuheshimiwa kwako kinategemea
Kiwango cha uzalishaji wako katika kufanya biashara.
Kanuni za kibiashara.
Mchungaji; Goodlucky Kyara
HUDUMA YA NEW VINE CHURCH
luka 19:14-27, mathayo 25:14-27
Kila mtu ni mfanya biashara
Mfano: wasomi wanauza ujuzi wao, makuli wanauza nguvu zao Na wamiliki wa makampuni wanauza bidhaa Na huduma mbali mbali.
KANUNI ZA BIASHARA
1. Mungu ndio mmiliki wa mali zote . zaburi 24: 2
2. Mungu amempa kila mtu kitu chake. Kila mtu ana mtaji na mtaji sio pesa pekee. Mtaji wako ndio mbegu au kianzio chako wajibu wako ni wewe kuzalisha tunda au matokeo.
AINA ZA MITAJI ULIYONAYO
1. Pumzi au uhai wako.
Bila kuwa na uhai na afya huwezi kufanya biashara yoyote. 'Usitumie maisha yako wekeza maisha yako'. 'Don't spend your life , invest your life'
2. Muda.
Matumizi ya muda ndio yanayoamua mafanikio yako. Watu wengi wanaweza kuajiriwa kwa sababu kujiajiri kuna hitaji nidhamu ya hali ya juu kuhusu matumizi ya muda. Matajiri huwa muda wao hauwatoshi ndio maana huwa wananunua muda wa watu wengine kwa kuwaajiriwa ili kuzidisha uzalishaji wa kampuni zao.
3. Akili au ufahamu
Kila mtu anayezaliwa mwenye akili timamu anaweza kufanya biashara yoyote. Ukosefu wa mawazo Na fikra au akili za kubuni biashara yoyote ni kitu kibaya sana.
4. Elimu
Kila maarifa au ujuzi ulionao ni mtaji tosha.
5. Nguvu
Nguvu ulizonazo pia ni mtaji.
6. Sauti.
Kama una sauti nzuri unaweza kufanya biashara yoyote inayohusiana na sauti. Mfano kuwa mshehereshaji na mtengenezaji wa matangazo ya ki biashara. Steve wonder ambaye ni mwanamuziki maarufu duniani ambaye ana ulemavu wa macho amewahi kusema hakuna kitu kibaya duniani kama kuwa na macho ambayo hayaoni . Hapa inamaanisha kutokuona fursa na mitaji mbali mbali uliyonayo
7. Kipaji
Mfano kucheza mpira , kuchora n.k.
AINA ZA MALI
1.Mali zinazokula mali.
Mfano gari ya kutembelea ambayo haikuongezei uzalishaji wako zaidi ya kukuongezea matumizi yako. Hapa tuna weza kuongelea gari za mikopo alafu haikuingizii kipato.
2. Mali isiyokula mali ila pia haizalishi Mali yoyote
Samani za majumbani kwetu mfano sofa za makochi na meza.
3. Mali inayozalisha mali.
Mfano daladala au hata pia gari binafsi isiyo kuingiza kwenye madeni na pia inaongeza uzalishaji wako kibiashara.
Mafanikio yanakuja kwa kuwa Na mali zinazozalisha KULIKO mali ambazo hazizalishi Na pia hazili mali zingine KULIKO mali zinazokula mali zingine.
Kumbuka kiwango cha kuheshimiwa kwako kinategemea
Kiwango cha uzalishaji wako katika kufanya biashara.
SEMINA YA MALENGO YA MAISHA
SEMINA
YA MALENGO YA MAISHA
SOMO: MALENGO YA FAMILIA
MHUBIRI:
MTUMISHI BUSARA
KANISA
LA T.A.G – NYAMALANGO, MWANZA. TANZANIA.
Mathayo
19:10 inasema kwamba kama ya mke na mume yako hivi haifai kuoa. Kabla hujaingia
kwenye ndoa lazima uanze kiroho yaani ufuate taratibu zote za kiimani ya
kikristo kama mtu aliyeokoka. Kabla ujaingia kwenye tafuta kuwa na ufahamu juu
ya masuala ya ndoa la sivyo utaichukia ndoa.
Somo
hili limegawanyika katika vipengele vine navyo ni:-
A)
Utangulizi
B)
Wajibu wa mume
C)
Wajibu wa mke
D)
Wajibu wa mtoto
UTANGULIZI
1.Mungu
aliumba mtu mume na mtu mke kwa maana hio alikusudia waanzishe familia. Mwanzo
1:26-27 inaonyeshwa Mungu baada ya uumbaji aliweka kanuni ya maongezeko kwa
mwanadamu. Hapa Mungu aliruhusu kanuni ya maongezeko ( principle of
multiplication) katika kila Nyanja ya Maisha mfano uzazi, biashara, kazi n.k.
Ukiamua kuwa mzalishaji utapata faida. Yesu alisema tawi lisilozaa lafaa
kukatwa likatupwe motoni. Kutengeneza faida ni halali kwa kila mkristo na sio dhambi
wala vibaya. Ukishindwa kuzalisha Mungu amakuona wewe ni mbaya tena ni mlegevu.
2.
Wote tunafanana kwa sababu tumeumbwa kwa mfano wa Mungu japo tunatofautiana
kimaumbile tu.
3.
Mamlaka ya kutawala ni kwa mwanaume na mwanamke. Mwanzo sura ya kwanza inasema
kisha mkatawale viumbe vyote vya baharini, ardhini na nchi kavu.
KUMBUKA:
Baada ya mwanadamu kufanya dhambi Mungu alimuadhibu mwanadamu ila punde tu pale
tunapookoka tunarudi bustani ya edeni na tunabadili majina na Kuitwa wabarikiwa na sio
walaaniwa tena.
4.
Nguvu ya uzalishaji iliwekwa ndani yetu kila mmoja. Mungu alisema nendeni
mkaitunze na kuilima bustani kisha mpate mzao na matunda. Waume tuwaruhusu wake
zetu kufanya kazi na biashara kwa sababu wote tumepewa nguvu ya uzalishaji.
3.
Wote wawili walikaa wazi. Wote walikuwa uchi. Lazima kwenye ndoa pawe na uwazi
kwenye mapato na matumizi ya pesa. Usiri huaribu ndoa bali uwazi.
WAJIBU WA WAUME AU MWANAUME NDANI YA FAMILIA NA NDOA YAKE.
1Petro
3:7 inawaasa waume kukaa na wake zao kwa akili, wakiwaheshimu ili maombi yao
yasizuiliwe. Waefeso 5:25-29 inasema kwa ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe.
1.
Wajibu wa kwanza wa mwanaume au mume ni kuwa kiongozi wa familia. Kutoka kwa
mstari wa biblia hapo juu, biblia inasisitiza waume kutumia akili zao ipasavyo
kujibu maswali ya kwa nini, wapi, kivipi na yupi yanayojibijika baada ya
kufikiri. Wake wanapenda kuulizwa maswali hayo hivyo waume yawapasa kufikiri
kwa makini.
2.
Kumheshimu mke wake. Biblia iansema kwamba umpe heshima mke wako. Afrika tuna
changamoto ya mfumo dume. Mke ni mtu adhimu Mungu aliyokupa wewe mume hivyo
yakupasa kumheshimu na kumthamini mkeo hata kama ana mapungufu fulani. Tanzania
tuna changamoto ya mila na desturi zinazomkandamiza mwanamke au mke. Wewe
mwanaume jijengee tabia ya kumheshimu mwanamke yoyote.
3.
Msifie mkeo. Zungumza juu ya sifa na uzuri wa mkeo. Muite mrembo na hata jamii
yako ifahamu.
4.
Haki ya urithi. Mithali 13:22 Baba mwema uwaachia urithi wana wake na hata wana
wa wanawe ( wajukuu zake ). Mwanaume au ume una wajibu wa kutafuta na kukusanya
fedha na mali za kutosha kwa ajili ya mke, watoto na wajukuu zake.
5.
Mpende mke wako. Upendo ni kumjali mkeo na kumsikiliza. Mfano kumpa zawadi.
Kuna msemo unasema kwamba kiongozi mzuri ni yule aliye msikilizaji mzuri. Pia
msemo mwingine unasema unaweza ukatoa kitu bila kumpenda mtu bali hauwezi
kumpenda mtu bila kumpa kitu.
6.
Unyenyekevu. Efeso 5:21 inasema kwamba inabidi kunyenyekeana katika kimo cha
kristo. Je kuna utofauti kati ya upole na unyenyekevu? Upole sio unyenyekevu. Mungu
huwapiga na hawapendi watu wenye kiburi. Unyenyekevu ni hali ya kumtanguliza
mtu mwingine kuliko wewe. Unyenyekevu unajifunza hauzaliwi nao. Unyenyekevu ni
wa muhimu hasa ndani ya ndoa hii inahusisha mme na mke pia. Ukitaka kuongoza
watu lazima uwe mnyenyekevu.
7.
Kutoa mahitaji ya familia mfano chakula, maladhi na nguo. 1Timotheo 5:8 hii
inaelezea kwamba ukishindwa kuleta mahitaji ya familia kama mwanaume au mume
wewe ni mbaya kuliko asiyeamini(mfano mchawi au mlevu). Kabla ya kuoa lazima
uangalie kama una uwezo wa kutunza familia.
WAJIBU
WA MKE AU MWANAMKE NDANI YA FAMILIA AU NDOA YAKE.
Waefeso
5: 22-33 Mtii mumeo kama unavyomtii bwana kwa maana mume ni kichwa cha familia
kama bwana alivyo kichwa cha kanisa. Utii huu ni kwa kila jambo na ni utii wa
hali ya juu sana.
1.
Wajibu wa kwanza wa mke ni kumtii mume wake. Mfano Sara mke wa Ibrahimu alimtii
mume wake kama alivyomtii bwana. Mfano Ibrahimu alimwita mke wake dada katika
nchi ya ugenini ila Sara alitii.
2.
Heshimu uongozi wa mume wako kwa sababu yeye ndio kichwa na wewe kama mke ni
msaidizi. Kumheshimu mume wako ni kutambua uwepo wake.
3.
Kupanga mambo ya ndani ya nyumba mfano usafi, upishi na kupanga wajibu wa
wajakazi wake na pia kuamka mapema asubuhi. Mithali 31:15
4.
Kuaminika na kutegemewa. Mithali 31:11 kuaminika katika kila jambo na uaminifu
lazima uthibitishwe haiji hivi hivi. Mfano matumizi ya hela.
5.
Kutenda wema. Mithali 31:12. Usirudishe baya kwa baya bali baya kwa wema.
Usipange kulipiza kisasi. Mithali 17:13 mabaya hayataondoka nyumbani mwako.
Kumbuka ugomvi wa ndoa unaathiri mpaka watoto.
6.
Kusema maneno mazuri. Mithali 31: 26 sheria ya wema ipo katika ulimi. Zungumza
mambo mazuri ya nyumbani mwako mjibu vizuri mme wako. Jifunze kumwambia mme
wako sifa zake angalau hata kwa sekunde 15 huku ukimsalimia kwa kumshika mkono
ukimuangalia machoni kwa tabasamu ang’avu.
7.
Mlinde mume wako Yeremia 31:22 mwanamke ana mlango wa sita wa fahamu kwa sababu
huwa wana uwezo wa kuhisi hatari hata kabla haijatokea, waume nao wanatakiwa
kuwasikiliza wake juu ya maonyo mbali mbali wanayopewa kwenye maisha.
WAJIBU
WA MTOTO
Mtoto
ni mtu yoyote aliyezaliwa na wazazi haimaanishi tu wale wenye umri mdogo tu kwa
hiyo kila mtu ni mtoto kwa sababu amezaliwa na wazazi. Waefeso 6:1-3 Enyi
watoto waheshimuni wazazi.
1.
Wajibu wa kwanza ni kuwaheshimu wazazi wako wa kiroho. Hapa tunaangalia
wachungaji wetu hata kama umemzidi elimu au fedha. Chunga kauli zako juu ya
watumishi wa Mungu. Jifunze jinsi ya kuchukuliana na mapungufu au makosa ya
viongozi wako wa kiroho.
2.
Tii wazazi wako wa kimwili yaani baba na mama yako. Usiwazungumzie wazazi wako
vibaya. Onyesha upendo wako sio tu kwa maneno bali kwa vitendo pia.
3.
Usimalaani baba na mama yako. Mithali 20:20 Taa yako inayowaka itazimika
ghafla. Hii inamaanisha mambo yako yataharibika mfano kazini, masomoni na
nyumbani. Mithali 23:22 Msikilize baba yakow ala usimdharau mama yako akiwa
mzee.
4.
Usiwaibie wazazi wako. Mithali 28:24 Aibaye mali za wazazi wake huyo ni rafiki
wa mtu mharibirifu.
5.
Usipoteze mali za wazazi wako. Mithali 19:26 Apotezaye mali za babaye na
kumfukuza mama yake ni mwana aniaibishaye na kuleta lawama. Tusifukuze wazazi
wetu pale tunapooa au wasichana kuolewa.
Jumapili, 1 Machi 2015
HOW TO HAVE A GREAT DAY EVERYDAY
Mesage HOW TO HAVE A GREAT DAY
Pastor Chris CHRIST EMBASSY ( S. AFRICA)
a great day is that one day that brings you even closer to the achievement of all that you are saved for
. 7 THINGS TO HELP YOU HAVE A GREAT DAY EVERY DAY These are the things which will make you to have a great day every day
1. Write out a basic plan for the day. Evaluate and prioritize the day's activities in the order of their reward and benefits to you.
2. Concentrate on those activities that produce quality results give them your best to gexcellent results. 3. Give total attention to the task at hand; don't get distracted
4. Be sensitive to the schedule of others. If you shift things it will change everything. 5. Remember to appreciate someone for something today. Make some one glad, it will relax your nerves and gladden your spirit.
6. Give the holy spirit time of fellowship and consultations.
7. Make sure your activities all focus on the achievement of your greater goals.
https://m.youtube.com/watch?v=EaiBDVAcSdQ
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)

